Diamond Platnumz – Unachezaje Lyrics
Diamond Platnumz – Unachezaje Lyrics.
We present to you the Lyrics to Diamond Platnumz latest single titled ‘Unachezaje‘.
For the purpose of Diamond Platnumz fans and our users here we bring to you the lyrics to the song ‘Unachezaje‘.
In case you haven’t download the Song yet, check it out below alongside the Lyrics.
Diamond Platnumz – Unachezaje Lyrics.
Mfukoni nina kiti (mati)
Mkononi kai (mati)
Naskia kuna kiki (wapi)
Nije kujimwaga (kati)
Oooh haitoshi, kalitaka simba la baba kaletewa
Oooh my gosh, sasa kazima anataka kubebewa
Oooh haitoshi, kalitaka simba la baba kaletewa
Oooh my gosh, sasa kazima anataka kubebewa
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje
Ilikuwa mbilil 4 4, pale pale (pale pale)
Dawa ya show show show
Nahisi ndale (nahisi ndale)
Peleka vuta, taratibu songa pupa
Dereva shusha hapo mbele kwenye kuta
Huu ni mti gani (wa mchongaoma)
Ukiukata (haukatiki)
Sisi ni mti gani (wa mchongoma)
Wakitukata (hatukatiki)
Sasa waonyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje
Po po li po li po po po po po po la
Po po li po li po po po po po po la
Po po li po li po po po po po po la
Waambie chombo (kinapepea)
Eeh chombo (kinapepea)
Huwaga chombo (kinapepea)
Kile chombo (kinapepea)
Aaah weeh
Acha
Aah weeh
Huo mnazi (unakatika)
Mnazi (unakatika)
Mama mnazi (unakatika)
Ona mnazi (unakatika)
Ukitaka kukatika (hukatika)
Kati kati (kati kah)
Huo mjumba (unabomoka)
Mjumba (unabomoka)
Mama mjumba (unabomoka)
Ona mjumba (unabomoka)
Ukitaka kubomoka (hubomoka)
Bobo bobo bobo boh