[Lyrics] Harmonize – Teacher
Harmonize Teacher Lyrics.
We present to you the Lyrics to Harmonize brand new single titled “Teacher”.
For the Purpose of Harmonize fans and our users here we bring to you the lyrics to the sing ‘Teacher’
In case you haven’t download the Song yet, check it out below alongside the Lyrics
Listen and Download Teacher by Harmonize Below:-
Harmonize Teacher Lyrics
Yao yao hahaha…Jeshi
Yeah! Wakati wanahanya kugombea kiti
Wanadanganyana na views wa ku-cheat
Mie jicho lipo nyanya nilishakula kijiti
Na magoma yakipigwa huko club mtiti
Ninachojua masela
Huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana siringishi hela
Wala ninavyovimiliki
Mafumbo andika kwa dera
Watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa cinderella
Yeye hapendagi makiki
(Oh nah nah nah)
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
I’m your Teacher, ah Teacher Konde
Teacher, Teacher Konde
I’m your Teacher, Teacher Konde
Teacher, ah Teacher Konde
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
Ninachojua masela
Huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana siringishi hela
Wala ninavyovimiliki
Mafumbo andika kwa dera
Watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa cinderella
Ye hapendagi makiki
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
I’m your Teacher, ah Teacher Konde
Teacher, Teacher Konde
I’m your Teacher, Teacher Konde
Teacher, ah Teacher Konde
Mwijaku mwetele kalipa bill ile
Mwaka wanakuta onja na kuta onje
Mavhanta na mwima Konde
Vanemba niwar
Hadi kutandahimba
Naika kukweteka kalipa bill ile
Teacher, ah Teacher Konde
Teacher, Teacher Konde
I’m your Teacher, Teacher Konde
Teacher, ah Teacher Konde